Mkurugenzi
wa Masoko wa Baraza la Sanaa la Taifa (Basata), Vivian Shaluwa
akizungumza na wadau waliofika katika hafla ya ugawaji vyeti kwa
wanafunzi wa kidato cha nne waliofanya vizuri katika mtihani wa kidato
cha nne somo la Sanaa.
Baadhi ya washiriki waliofika kushuhudia ugawji huo wa vyeti
Rais wa Shirikisho la Sanaa Maonyesho , William Chitanda akizungumza juu ya umuhimu wa wanafunzi kufanya sanaa pindi wanapokuwa mashuleni
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...