Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan leo
amekutana na kuzungumza na Msaidizi wa Mjumbe wa Jopo la Umoja wa
Mataifa la Kuwezesha Wanawake Kiuchumi Bw. Shree Kant Kumar pamoja na
kiongozi wa Chama cha Wanawake Waliojiajiri (SEWA) Bi. Pushpa Rathod
kutoka nchini India ambao walifanya ziara Tanzania Bara na Zanzibar
katika vikundi mbali mbali vya wanawake wanaofanya shughuli zao za
kiuchumi.
Home
IKULU
MAKAMU WA RAIS MHE.SAMIA AKUTANA NA MSAIDIZI WA MJUMBE WA JOPO LA UMOJA WA KIMATAIFA LA KUWAWEZESHA WANAWAKE KIUCHUMI
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...