Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan leo amekutana na kuzungumza na Msaidizi wa Mjumbe wa Jopo la  Umoja wa Mataifa la Kuwezesha Wanawake Kiuchumi Bw. Shree Kant Kumar pamoja na kiongozi wa Chama cha Wanawake  Waliojiajiri (SEWA) Bi. Pushpa Rathod kutoka nchini India ambao walifanya ziara Tanzania Bara na Zanzibar katika vikundi mbali mbali vya wanawake wanaofanya shughuli zao za kiuchumi.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...