Na Humphrey Shao, Globu ya Jamii
Kampuni ya kuuza Ving’amuzi ya StarTimes Tanzania inatoa pakacha la pasaka  kwa wateja wake ambapo kampuni hiyo imetangaza kuwa kuanzia tarehe 16 Machi 2017  wateja watakaojiunga na kifurushi cha kuanzia Mambo watapata ofa ya wiki moja  ya kifurushi cha Uhuru.

Akizungumza na Waandishi wa habari jijini Dar es Salaam  leo Maeneja Masoko wa StarTimes Tanzania, Felix Awino amesema kuwa wateja waliolipia  watafurahia maudhui mazuri yatakayokidhi na kuburudisha familia msimu mzima  wa pasaka.Ambapo ndani ya wiki nne (4) wiki moja ya kwanza mteja atafurahia kifurushi cha juu.
Maeneja Masoko wa StarTimes Tanzania, Felix Awino akizungumza waandishi wa habari. Kwa taarifa kamili BOFYA HAPA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...