Ally
Songoro Mkurugenzi wa Maendeleo ya Taaluma Bodi ya Ununuzi na
Ugavi(PSPTB) akitoa mada kwa wanafunzi wa Ununuzi na Ugavi katika
Chuo cha (IPS) kilichopo Chanika jijini Dar es salaam. wakati wataalamu
wa bodi hiyo walipotoa mafunzo ya taaluma hiyo katika chuo hicho, Bw.
Ally Songoro amehimiza kufuatwa kwa maadili wakati wa kutekeleza
majukumu yao ambapo unatakiwa umakini mkubwa huku wakifuata maadili,
Kanuni na taratibu za ununuzi na ugavi wakati watakapokuwa katika ajira
zao kwenye taasisi mbalimbali hapa nchini na kwingineko.
Baadhi ya wanafunzi hao wakifuatilia mada zilizokuwa zikitolewa na wataalamu kutoka Bodi ya ununuzi na ugavi (PSPTB) kwenye chuo hicho
Mmoja wa wakufunzi wa chuo hicho akiwaeleza jambo wanafunzi hao wakati alipokuwa akiwakaribisha wataalamu kutoka Bodi ya Ununuzi na Ugavi (PSPTB) ili kutoa mafunzo kwa wanafunzi hao.
Shamim Mdee Afisa Mwandamizi wa Masoko na Mahusiano ya Umma(PSPTB) akizungumza jambo na wanafunzi wa taaluma ya Ununuzi na Ugavi katika chuo cha (IPS) Chanika jijini Dar es salaam.
Baadhi ya wanafunzi hao wakifuatilia mada zilizokuwa zikitolewa na wataalamu kutoka Bodi ya ununuzi na ugavi (PSPTB) kwenye chuo hicho
Mmoja wa wakufunzi wa chuo hicho akiwaeleza jambo wanafunzi hao wakati alipokuwa akiwakaribisha wataalamu kutoka Bodi ya Ununuzi na Ugavi (PSPTB) ili kutoa mafunzo kwa wanafunzi hao.
Shamim Mdee Afisa Mwandamizi wa Masoko na Mahusiano ya Umma(PSPTB) akizungumza jambo na wanafunzi wa taaluma ya Ununuzi na Ugavi katika chuo cha (IPS) Chanika jijini Dar es salaam.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...