Wajumbe wa Kikosi cha Kitaifa cha kunusuru ikolojia ya Mto Ruaha (kikundi namba 2) wakiwa katika picha ya pamoja wakati wakisubiri kupanda boti ya upepo ili kutembelea eneo la bonde la Ihefu lililoko Mbalari- Mkoani Mbeya kugagua ikolojia ya Bonde hilo.
 Wajumbe wa Kikosi kazi wakiwa ndani ya boti katikakti ya bonde la Ihefu wakiakagua ikolojia ya bonde hilo. Kuanzia kulia ni Mkurugenzi Tume ya Umwagiliaji Injinia Seth Lusweme, Mkurugenzi Mazingira Ofisi ya Makamu wa Rais Richard Muyungi na Mkurugenzi wa Bonde la Rufiji Idris Msuya.
 Afisa Mkuu toka TANAPA Kanda ya Arusha Vitalis Uruki akiongea na Wanahabari mara baada ya ziara ya kikosi kazi katika bonde la Ihefu katika Wilaya ya Mbalari Mkoani Mbeya.



Picha ikionyesha hali ya ikolojia katika bonde la Ihefu inavyoonekana kwa sasa

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...