Assalam aleykum ndugu Watanzania wote muishio UAE.
Naomba kuwalika wote kwenye shughuli yetu ya kusherekea sikukuu ya Muungano itakayo fanyika pale Al Ahly club mjini Dubai siku ya Jumamosi tarehe: 29/04/2017 saa mbili unusu (8:30pm).
Mgeni rasmi anatarajiwa kuwa Rais wa TFF Bw. Jamal Malinzi na pia Bi Samira Diria Balozi mdogo kutoka ubalozini Abu Dhabi atakuwepo. Kwenye sherehe hizo tutacheza friendly match ya Simba vs Yanga wa Dubai. Pamoja na hayo kutakuwa na chakula, BBQ na kadhalika. KARIBUNI WOTE
- MRATIBU MKUU
Yanga ya Dubai
Simba ya Dubai
Wachezaji wa Simba ya Dubai
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...