Mratibu
wa Shindano la Miss Grand Tanzania , Rasheedah Jamaldin akizungumza
na waandishi wa habari mapema leo jijini Dar, juu ya uzinduzi wa shindano
la urembo litakalo tambulika kama Miss Grand Tanzania 2017 linalotarajia kuanza mapema mwezi Juni mwaka huu, ambapo imeelezwa kuwa mchujo wake utaanzia
katika ngazi ya vitongoji mpaka Taifa .
Meneja Matukio wa Miss Garand Tanzania 2017 ,Abraham Mahimbo akizungumza na waandishi jisni mawakala watakavyohusika katika kuwapata warembo nchi nzima
Waandishi mbalimbali waliofika katika mkutano huo wa uzinduzi wa shindano la Miss Garand 2017 jijini Dar es Salaam leo
Meneja Matukio wa Miss Garand Tanzania 2017 ,Abraham Mahimbo akizungumza na waandishi jisni mawakala watakavyohusika katika kuwapata warembo nchi nzima
Waandishi mbalimbali waliofika katika mkutano huo wa uzinduzi wa shindano la Miss Garand 2017 jijini Dar es Salaam leo
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...