Roger Moore, muigizaji marufu wa sinema aba za ujasusi za James Bond kati ya mwaka 1973 na 1985, amefaruiki dunia kwa ugonjwa wa saratani, kwa mujibu wa familia yake. Amefariki akiwa na umri wa miaka 89.
"Tunajua kwamba mapenzi yetu kwako na kuhusudiwa vitakuzwa mara nyingi ulimwenguni kote na watu waliomfahamu kutokana na filamu zake, maonesho katika TV na ukereketwa wake kwa kuifanyia kazi  UNICEF ambayo aliamini ni fanaka kubwa katika maisha yake", watoto wake Deborah, Geoffrey na  Christian, wamesema katika taarifa iliyowekwa kwenye akaunti yake rasmi ya Twitter siku ya Jumanne.
Familia hiyo itafanya mazishi yake ya kifamilia huko Monaco, kama alivyohusia yeye mwenyewe, taarifa hiyo inaeleza.
Marehemu Moore alijulikana zaidi kama mtu aliyemrithi muigizaji Sean Connery katika mlolongo wa sinema za James Bond.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...