--
Msanii wa Sanaa za Ufundi Maarufu kama Ngosha akimchora mmoja wa wanamitindo katika Tamasha la kuchora mwili lililofanyika katika ukumbi wa Nafasi Art Space jijini Dar es salaam
Baadhi ya wakazi wa jiji la Dar es Salaam walijitokeza katika Tamsha hilo wakishiriki kuchora miili ya wanamitindo hao
Baadhi ya wanafunzi wa program ya Women Express wakiwa Darasani katika kituo cha Nafasi Art Space wakijufunza namna ya kuchora michoro mbalimbali
Baadhi ya wakazi wa jiji la Dar es Salaam walijitokeza katika Tamsha hilo wakishiriki kuchora miili ya wanamitindo hao
Mmoja wa wasanii akichora picha ya wanamitindo wa kiume ambao walikuwa wamefikia hatua ya kulala kama sehemu ya onyesho hilo la uchoraji wa mwili
Mmoja wa wasanii akichora picha ya wanamitindo wa kiume ambao walikuwa wamefikia hatua ya kulala kama sehemu yaonyesho hilo la uchoraji wa mwili
Msanii wa Sanaa za Ufundi Maharufu kama Ngosha akimchora mmoja wa wanamitindo wa kike katika Tamasha hilo la uchoraji lililofanyika katika ukumbi wa Nafasi Art Space
Wanamitindo wa michoro ya mwili wakiwa katika pozi mbalimbali mara baada ya kumalizwa kuchorwa
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...