Mbunge wa Jimbo la Pangani (CCM)  Mhe. Jumaa Aweso kulia akimkabidhi vitanda kimoja kati ya 25 Mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya ya Pangani, Bw. Sabas Chambasi ambavyo ni miongoni mwa mgao wa vifaa tiba walivyopewa na Rais John Magufuli kwa ajili ya wilaya ya Pangani kushoto ni Mkuu wa wilaya ya Pangani, Mhe. Zainabu Issa 
Mbunge wa Jimbo la Pangani (CCM) Mhe. Jumaa Aweso kulia akimkabidhi mgao wa mashuka 50 kutoka kwa Rais John Magufuli Mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya ya Pangani, Bw. Sabas Chambasi kwa ajili ya kusaidia huduma za afya kwenye wilaya ya Pangani katika halfa iliyofanyika kwenye hospitali ya wilaya ya Pangani juzi wa pili kushoto ni Mkuu wa wilaya ya Pangani, Mhe. Zainabu Issa 
Mbunge wa Jimbo la Pangani (CCM)  Mhe. Jumaa Aweso akizungumza katika halfa hiyo ambapo alimshukuru Rais John Pombe Magufuli kwa kuona umuhimu wa kusaidia vifaa tiba wilaya ya Pangani
Mkuu wa wilaya ya Pangani Mhe. Zainabu Issa akizungumza katika halfa hiyo kushoto ni Mbunge wa Jimbo la Pangani (CCM) Jumaa Aweso
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) akizungumza katika makabidhiano hayo. Kwa picha zaidi BOFYA HAPA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...