Timu
nzima ya MMG chini yake Ankal Issa Michuzi, inawatakia mfungo mwema wa
Mwezi Mtukufu wa Ramadhan ndugu wote katika Imaan ya Dini ya Kiislam,
Duniani kote. Hiki ni kipindi muhimu sana kwa waislam wote katika Ibada
ya Toba, hivyo tujitahidi kuhimizana kufanya ibada na kumcha Allah Sub
Hannahu Wataala.
Amin
Ramadhan Kareem.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...