--
 Afisa uhusiano wa kampuni ya simu za mkononi ya  Tecno,, Erick Mkomoye akizungumza na waandishi wa habari waliofika katika kutazama sinema iliyoandaliwa na kampuni ya Tecno kwa watu wanaotumia simu za kampuni hiyo ambao waliweza kualikwa kufika katika ukumbi Century Cinema Dar Free Market
 Afisa uhusiano wa kampuni ya simu za mkononi ya  Tecno,, Erick Mkomoye akizungumza na vyombo mbalimbali vya habari vilivyofika katika ukumbi huo.
 Balozi wa simu za Tecno nchini Tony Albert (TBWAY) akizungumza na wana habari juu ya uzuri wa simu za Tecno kwa waandishi wa habari
 Afisa huduma kwa wateja Christina Simbano  akikabidhi tiketi kwa mshindi wa kuingia sinema Christiner Christopher
Baadhi ya wadau wa Tecno wakisheherekea  na Selfie ya Tecno Cam C9

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...