Waziri
wa Wizara ya Ardhi; Mhe. William Lukuvi na Naibu wake; Mhe. Angeline Mabula
katika picha ya pamoja na Balozi wa Denmark, nchini Tanzania; Einar H. Jensen
na Mshauri wa Programu ya kuwezesha umilikishaji Ardhi (LTSP); Suleiman Dabbas
na watendaji wakuu wa Wizara – bungeni, Dodoma baada tu ya kuwasilisha hotuba
ya Makadirio ya mapato na matumizi ya wizara kwa mwaka wa fedha 2017/18.
Kaimu
Kamishna wa Ardhi; Mary Makondo na watendaji wakuu wengine wa Wizara wakiteta
nje ya bunge, baada tu ya kuwasilishwa kwa hotuba ya Wizara ya Ardhi.
Watendaji wakuu wengine wa Wizara wakiteta nje ya bunge baada tu ya kuwasilishwa kwa hotuba ya Wizara ya Ardhi.
Mkurugenzi
wa Sera na Mipango wa Wizara ya Ardhi, Ezekiel Mpanda akiwa nje ya bunge na
timu yake, baada tu ya kuwasilishwa kwa hotuba ya Wizara ya Ardhi.
Watendaji wa Wizara ya Ardhi, wakiendelea na kazi ya kujibu hoja zilizowasilishwa bungeni |
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...