Mafunzo special ya Urembo, kutoka kwa Mwanadada mwenye Vyeti vyenye Uthibitisho wa Kimataifa wa MakeUp Artistry & Beauty Influence (DYF Certified/MakeUpByMario Certified)

Njoo ujifunze kutumia MakeUp, Ujanja wa kitaalamu, Siri za upakaji wanazotumia professionals, Reviews za bidhaa mbalimbali za Urembo, kipengele cha Maswali na Majibu kuhusu Urembo na Bidhaa zake, na pia Zawadi mbali mbali (goodie bags) zitatolewa kwa washiriki.

Kama wewe ndio kwanza unaanza kujifunza au tayari ni MakeUp Artist (MUA) na unataka kuongeza ujuzi, basi fanya booking maana hii ni kwaajili yenu na wote mnakaribishwa. Itakuwa ni Regency Hotel (Mikocheni) tarehe 8 na 9 za Mwezi wa Saba (July). Kwa Booking na Maelezo zaidi wasiliana kwa namba 0685219111 au follow @cherie_mals !! HII SIO YA KUKOSA (wahi maana nafasi ni chache)
#101BeautyClass #CherieMals #CherieOnTheBeat #SharingIsCaring #MakeUpArt
#2DayClass #WaremboNaUrembo

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...