Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli
akisalimiana na Waziri wa Mambo ya Nje wa Norway Borge Brende
aliyeambatana na ujumbe wake Ikulu jijini Dar es Salaam.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa
katika picha na Waziri wa Mambo ya Nje wa Norway Borge Brende wanne
kutoka (kushoto), Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika
Mashariki Balozi Dkt. Augustine Mahiga wanne kutoka (kulia)pamoja na
vingozi wengine wa Tanzania na Norway mara baada ya mazungumzo Ikulu
jijini Dar es Salaam.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiagana na
Waziri wa Mambo ya Nje wa Norway Borge Brende mara baada ya mazungumzo
yao Ikulu jijini Dar es Salaam.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwatazama
Waziri wa Mambo ya Nje wa Norway Borge Brende wakati akizungumza jambo
na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Dkt.
Augustine Mahiga Ikulu jijini Dar es Salaam. PICHA NA IKULU
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...