Rais mstaafu Alhaji Ali Hassan Mwinyi akitoa Salamu za Eid el Fitr kwa waislam baada ya Swala ya Eid el Fitr katika viwanja vya Mnazi Mmoja  jijini Dar es Salaam, mapema leo
Pichani kulia ni Rais mstaafu Alhaji Ali Hassan Mwinyi sambamba na waumini wengine wakiswali swala ya sikukuu ya Eid El Fitr iliyofanyika mapema leo katika viwanja vya Mnazi Mmoja,jijini Dar es Salaam.
Sheikh wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhad Mussa Salum akitoa mawaidha yake wakati wa Swala ya Eid El Fitr katika viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam.
Waumini wa dini ya Kiislamu wakifuatilia mawaidha mbalimbali yaliyokuwa yakitolewa katika Swala ya Eid El Fitr,iliyofanyika kwenye viwanja vya mnazi mmoja mapema,leo jijini Dar. 
Swala ya Eid El Fitr ikiendelea mapema leo asubuhi.
Waumini wa dini ya Kiislamu wakiswali swala ya Eid El Fitr,katika viwanja vya mnazi mmoja mapema,leo jijini Dar.
Waumini wa dini ya Kiislamu wakiwa wamejumika pamoja katika swala ya Eid El Fitr,katika viwanja vya mnazi mmoja mapema,leo jijini Dar.
Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa,Dkt Hussein Mwinyi akisalimiana na Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni,Mhe.Salum Hapi mara baada ya kuwasili katika Swala ya Eid El Fitr iliyofanyika mapema leo katika viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam,Pichani kati ni Sheikh wa Mkoa wa Dar es Salaam, Al Had Mussa Salum .
Rais mstaafu Ali Hassan Mwinyi akisalimiana na Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni,Mhe.Salum Hapi mara baada ya kuwasili katika Swala ya Eid El Fitr iliyofanyika mapema leo katika viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam.
Pichani kushoto ni Mwenyekiti wa chama cha CUF,Prof Haroun Lipumba na waumini wengine wakiwasili katika viwanja vya Mnazi mmoja kwa ajili ya kushiriki swala ya Eid El Fitr jijini Dar es Salaam.
Waziri Mkuu Mstaafu Dkt Salim Ahmed Salim akiongozwa na Sheikh wa Mkoa wa Dar es Salaam, Al Had Mussa Salum pamoja na Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni,Mhe.Salum Hapi kushiriki kwenye swala ya sikukuu ya 
Eid El Fitr iliyofanyika mapema leo katika viwanja vya Mnazi Mmoja,jijini Dar es Salaam.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...