Naibu Waziri Ofisi ya Rais sharia, Utumishi wa Umma na Utawala bora Zanzibar, Khamis Juma Maalim(wapili kushoto) pamoja na Mkuu wa kitengo cha Mawasiliano na Uhusiano wa Vodacom Tanzania, Jacquiline Materu(kushoto) wakiwakabidhi boksi la tende wazee wasiojiweza wa mjini Zanzibar ikiwa ni moja ya msaada na zawadi zilizotolewa na Vodacom Tanzania Foundation kwa ajili ya wazee hao pamoja na watoto yatima ili waweze kusherehekea sikukuu ya Ramadhani kesho kutwa,Mfuko huo wa kusaidia jamii ulitoa vyakula mbalimbali na mbuzi kwa wazee hao na watoto waishio katika mazingira magumu wa mjini humo jana.
 Naibu Waziri Ofisi ya Rais sharia, Utumishi wa Umma na Utawala bora  Zanzibar,Khamis Juma Maalim(kushoto) na Mkuu wa kitengo cha Mawasiliano na Uhusiano wa Vodacom Tanzania, Jacquiline Materu (wapili kushoto) wakiwakabidhi mbuzi wazee wasiojiweza wa mjini Zanzibar ikiwa ni moja ya msaada na zawadi zilizotolewa na Vodacom Tanzania Foundation kwa ajili ya wazee hao pamoja na watoto yatima ili waweze kusherehekea sikukuu ya Ramadhani kesho kutwa, Mfuko huo wa kusaidia jamii ulitoa vyakula mbalimbali vya kula kwa wazee hao na watoto waishio katika mazingira magumu jana.
 Naibu Waziri Ofisi ya Rais sharia, Utumishi wa Umma na Utawala bora  Zanzibar,Khamis Juma Maalim (kushoto) akiwakabidhi mafuta ya kula  watoto waishio katika mazingira magumu wa mjini Zanzibar kwa niaba ya Vodacom Tanzania Foundation  ikiwa ni moja ya zawadi zilizotolewa na mfuko huo kwa ajili ya watoto hao pamoja na wazee kusherehekea sikuu ya Ramadhani kesho kutwa, Mfuko huo wa kusaidia jamii ulitoa vyakula mbalimbali  na mbuzi kwa wazee hao na watoto waishio katika mazingira magumu jana,Anaeshuhudia wapili toka kushoto ni na Mkuu wa kitengo cha Mawasiliano na Uhusiano wa Vodacom Tanzania, Mkuu wa kitengo cha Mawasiliano na Uhusiano wa Vodacom Tanzania, Jacquiline Materu.
 Meneja biashara wa kitengo cha Mawasiliano na Uhusiano wa Vodacom Tanzania, Grace Lyon akiwagawia mafuta ya kula baadhi ya watoto waishio katika mazingira magumu wa mjini Zanzibar kwa ajili ya sikukuu ya Ramadhani itakayofanyika kesho kutwa, Msaada huo ulitolewa na Vodacom Tanzania Foundation.
Mtoto aishio katika mazingira magumu wa mjini Zanzibar, Bakari Juma akipokea mafuta ya kula toka kwa mfanyakazi wa Vodacom Tanzania,Glory Mtui kwa ajili ya sikukuu ya Ramadhani itakayofanyika kesho kutwa, Mfuko wa kusaidia jamii wa kampuni hiyo”Vodacom Tanzania Foundation”ulitoa msaada wa vyakula mbalimbali kwa watoto hao na wazee wanaoshi katika mazingira magumu mjini humo jana.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...