Naibu  Katibu Mkuu wa  Muungano wa Makanisa ya Pentekoste katika Tanzania wa Umoja wa Wanawake (UW-MMPT), Loveness Maiko akizungumza katika Kongamano la Kitaifa la Wanawake wa kanisa hilo la mwaka huu wa 2017 lililofikia tamati jana Misheni ya Kijitonyama jijini Dar es Salaam.
 Askofu Mkuu wa Kanisa hilo Kitaifa, Erasto Makalla akitoa mahubiri ya kufunga kongamano hilo.
 Askofu Methusela John Mpera akiongoza maombi ya kufunga kongamano hilo.
 Hii ni kamati nzima iliyofanikisha kongamano hilo.
Naibu  Katibu Mkuu wa  Muungano wa Makanisa ya Pentekoste katika Tanzania wa Umoja wa Wanawake (UW-MMPT), Loveness Maiko akizungumza katika Kongamano la Kitaifa la Wanawake wa kanisa hilo la mwaka huu wa 2017 lililofikia tamati jana Misheni ya Kijitonyama jijini Dar es Salaam.
 Askofu Mkuu wa Kanisa hilo Kitaifa, Erasto Makalla akitoa mahubiri ya kufunga kongamano hilo.
 Askofu Methusela John Mpera akiongoza maombi ya kufunga kongamano hilo.
 Hii ni kamati nzima iliyofanikisha kongamano hilo.
Naibu  Katibu Mkuu wa  Muungano wa Makanisa ya Pentekoste katika Tanzania wa Umoja wa Wanawake (UW-MMPT), Loveness Maiko akizungumza katika Kongamano la Kitaifa la Wanawake wa kanisa hilo la mwaka huu wa 2017 lililofikia tamati jana Misheni ya Kijitonyama jijini Dar es Salaam.
 Askofu Mkuu wa Kanisa hilo Kitaifa, Erasto Makalla akitoa mahubiri ya kufunga kongamano hilo.
 Askofu Methusela John Mpera akiongoza maombi ya kufunga kongamano hilo.
 Hii ni kamati nzima iliyofanikisha kongamano hilo.
 Taswira ya kongamano hilo. Hawa ni wanawake walioshiriki kutoka mikoa mbalimbali. Kwa habari zaidi BOFYA HAPA



Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...