Waziri
wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Charles Mwijage akizungumza na wadau
mbalimbali wa maswala ya Gesi kwenye warsha iliyoandaliwa na kampuni ya Satoil
yenye makao yake makuu nchini Norway, iliyoyangika kwenye Hotel Hyatt
Regency jijini Dar es Salaam leo. Waziri Mwijage ameipongeza serikali ya
Norway kwa kuona umuhimu wa kuwekeza kwenye GAS hapa nchini, kwani wao
wamekuwa ni wakongwe kwenye sekta hiyo.
Waziri wa Mambo ya Nje wa Norway, Borge Brende akizungumza na wadau mbalimbali wa maswala ya Gesi kwenye warsha iliyoandaliwa na kampuni ya Satoil jijini Dar Es Salaam leo.
Meneja
Mkazi wa Statoil Tanzania, Oystein Michelsen akizungumza na wadau
mbalimbali wa maswala ya Gesi kwenye warsha lililoandaliwa na kampuni ya Satoil
jijini Dar Es Salaam leo.
Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Statoil Tanzania , Genevieve Kasanga akizungumza katika warsha hiyo.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...