Mgeni rasmi Mbunge wa Chalinze Mhe. Ridhiwani Kikwete (meza kuu kulia juu) akimshangilia shabiki mkubwa  wa timu ya Kauzu Fc ya Tandika  Chief Kauzu wakati akiingia katika uwanja wa Kinesi eneo la Ubungo jijini Dar es salaam kabla ya mchezo wa Mashindano ya Mpira wa Miguu ya SportsXtra Ndondo Cup yanayoandaliwa na Clouds FM na AzamTv,  baina ya Kauzu FC na Stim Tosha ambayo iliibuka mshindi kwa njia ya penati 4-2 baada ya kutoka sare ya 1-1.
 Mgeni rasmi Mbunge wa Chalinze Mhe. Ridhiwani Kikwete akiongea jambo na Chief Kauzu wa Timu ya Kauzu Fc ya Tandika
 Mgeni rasmi Mbunge wa Chalinze Mhe. Ridhiwani Kikwete akiwa meza kuu na viongozi wengine wa michuano hiyo
 Mgeni rasmi Mbunge wa Chalinze Mhe. Ridhiwani Kikwete akigawa zawadi kwa kiongozi wa timu ya Kauzu FC. Kushoto ni Mbunge wa Ubungo Mhe. Saeed Kubenea
Mgeni rasmi Mbunge wa Chalinze Mhe. Ridhiwani Kikwete akigawa zawadi  kwa viongozi wa timu ya StimTosha ya Mabibo ambao ndiyo walioibuka na Ushindi wa Magoli 4-2 kwa njia ya Penalti baada ya kumaliza mchezo kwa sare ya 1-1

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...