Tarifa za kusikitisha za kifo cha mwenzetu Peter M Jennings Kessy. Mtanzania alikuwa akiishi Bronx New York kilichotokea siku   July11,2017 .
Ndugu Peter Jennings ni mjomba wa Rose Gadner wa Connecticut . Taratibu za mazishi zinapangwa ambapo mwili utasafirishwa kuelekea nyumbani Kilimanjaro -Tanzania.Kabla ya kusafirishwa mwili utaangwa August 12,2017(Tentative ) .
Kama ilivyo ada yetu tushirikiane ktk kipindi hiki kigumu ,tuonyeshe umoja, upendo na udugu wetu kwa hali na mali. Tunawaombea Mungu awape nguvu na faraja.
Pole kwa ndugu , jamaa, marafiki na wote walioguswa na msiba huu.

Taarifa zaidi zitatolewa kadiri zitapokuwa tayari au wasiliana na :
Rose Gadner:+12038140545



More contacts &
info to follow #UpdatesAsWeGet

Aksanteni,


Sylvester Mwingira.
Hi everyone, please click here to support my GoFundMe campaign, Peter's Tanzania Funeral Fund: 



Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...