Mwanamuziki nguli na mpiga Saxophone maarufu na aliyekuwa rais wa bendi ya Super Kamanyola yenye maskani yake jijini Mwanza, Munuka Roy maarufu "Bwana Kitoko" amefariki dunia leo asubuhi katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili likokuwa amelazwa kwa matibabu.
Mwanamuziki Roy ambaye alikuwa pia ni mwalimu wa muziki, mtunzi na mpuliza saxophone mahiri, alitamba zaidi na iliyokuwa bendi maarafu hapa nchini ya Orchestra Maquis Du Zaire na baadae Maquis Original.
Mungu Aiweke Roho yake mahala pema peponi.
-AMIN
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...