Wajumbe wa Kamati ya Maadili ya nchini Malawi watembelea Tanzania kujifunza utendaji kazi wa maeneo mbalimbali nchini, ikiwa ni pamoja na utendaji katika Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, hususan katika eneo la utoaji huduma kwa Umma katika kupambana na Rushwa na uadilifu wa Utumishi. 
Mratibu wa Kituo cha huduma kwa mteja; Johnson Sanga akionyesha electronic queing machine ya kuhudumia wateja sawa sawa na anayewahi kufika, ambayo hutumika katika Kituo cha Huduma kwa Mteja; Kwa Wajumbe wa Kamati ya Maadili kutoka Malawi.
Kamati ya Maadili kutoka nchini Malawi ikiwa kwenye picha ya pamoja na Kamati ya uadilifu ya Wizara ya Ardhi. Na Kitengo cha Mawasiliano SerikaliniWizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...