Tazama makala maalum inayoelezea suala la ukusanyaji kodi katika maeneo ya mipaka ya nchi ya Tanzania kwa ajili ya kuleta maendeleo chini; https://youtu.be/oxQL_wQ6SUY

Madiwani watatu CHADEMA halmashauri ya  wilaya ya Hai mkoa Kilimanjaro wamejiuzuru nafasi zao na kujiunga na CCM; https://youtu.be/IvUWc32ug-Y

Watu watano wameuawa kwa kuchomwa moto wilayani Nzenga mkoani Tabora kwa tuhuma za imanai ya kishirikiana; https://youtu.be/xZbxBi8v0k0

Mkuu wa wilaya ya Kongwa mkoani Dodoma ameiagiza serikali ya kijiji cha Segeri kurudisha ardhi ya mwananchi aliyedhulumiwa na kiongozi wa serikali; https://youtu.be/qhRJ-JxSjBg

Mkuu wa mkoa wa Mbeya ametoa siku 20 kwa maafisa ardhi wa Mbeya kumaliza migogoro yote ya ardhi kabla ya kuchukuliwa hatua kali; https://youtu.be/Wyz6s5x1jYg

Baraza la madiwani halmashauri ya Mpanda wametoa kauli ya kutaka fedha za jimbo zirejeshwe kutokana na miradi mingi kusimama kwa muda mrefu; https://youtu.be/KSSi0QoxC9Y

Viongozi vyama vya ushirika mkoani Arusha wametakiwa kutatua changamoto zinazovikabili vyama vya ushirika mkoani humo; https://youtu.be/G2hLqpyB2DQ

Fuatilia mazunguzmo kuhusu nafasi ya kilimo kwa maendeleo ya uchumi wan chi na kipi kifanye kuboresha kilimo nchini Tanzania; https://youtu.be/Gy3YNZi8H7k

Kampeni ya Rais Magufuli ya kumtua mwanamke ndoo kichwani  imeanza kutekelezwa jijini Mwanza kwa mbunge wa Kwimba kuchimba visima 11. https://youtu.be/_nnxol7tWJg

Wananchi manispaa ya Songea wameamua kujenga zahanati ili kuondokana na kutembea umbali mrefu kwenda kupata huduma za afya; https://youtu.be/I_IMojm3ydQ

Bohari ya dawa nchini MSD imesema uanzishwaji wa maduka ya dawa umeleta mafanikio makubwa katika upatikanaji wa dawa kwa wananchi; https://youtu.be/JwZZSutNBHM

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...