Afisa Mtendaji Mkuu wa kampuni ya Airtel-Tanzania, Bw. Sunil Colaso, (kushoto), akibadilishana mawazo na Kaimu Mkurugenzi wa Mtandao (Network), Bw. Emmanuel Luanda, Mkurugenzi wa IT, Bw. Frank Filman, na Mkurugenzi wa Masoko, Bw.Isack Nchunda. kampuni ya Airtel ilitembelewa na Afisa Mtendaji Mkuu wa Standard Charted bank ili kubadilishana uzoefu katika kuhudumia wateja wao.
Afisa Mtendaji Mkuu wa kampuni ya Airtel-Tanzania, Bw. Sunil Colaso, (kulia), na Afisa Mtendaji Mkuu, wa Standard Chartered Bank-Tanzania, Bw. Anjay Rughani, wakizunhuzma kabla ya kuanza kwa semina hiyo. 
Afisa Mtendaji Mkuu wa kampuni ya Airtel-Tanzania, Bw. Sunil Colaso, akizungumza na wafanyakazi wa kampuni hiyo wakati akimkaribisha Afisa Mtendaji Mkuu wa Standard Chartered Bank-Tanzania, Bw. Sanjay Rughani, kutoa semina ya kuhamasisha (motivation), makao makuu ya Airtel jijini Dar es Salaam. kampuni ya Airtel ilitembelewa na Afisa Mtendaji Mkuu huyo kutoka Standard Charted Bank ili kubadilishana uzoefu katika kuhudumia wateja wao.
Afisa Mtendaji Mkuu, wa Standard Chartered Bank-Tanzania, Bw. Anjay Rughani, ambaye ni mmoja kati wa watanzania wachache wanaoshikilia nafasi hiyo ya juu kwenye taasisi za kimataifa, akizungumza wakati wa semina ya kuwahamasisha (motivation), wafanyakazi wa kampuni ya simu za mikononi, Airtel, makao makuu, jijini Dar es Salaam. 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...