Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) alipokuwa akiangalia Tungule wakati alipotembelea Biashara za Kilimo za Ushirika wa Mtule AMCOS, pamoja na Viongozi wengine wakati alipotembelea katika Ofisi ya Ushirika huo kupata maelezo akiwa katika ziara ya kutembelea Miradi mbali mbali ya Wananchi wa Wilaya ya Kusini Unguja,(kulia) Mwenyekiti wa Ushirika wa Mtule AMCOS Bw.Mgana Khamis Zidi.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein (wa pili kulia) alipokuwa akiuliza jambo wakati alipotembelea Biashara za Kilimo za Ushirika wa Mtule AMCOS leo pamoja na Viongozi wengine (Pichani) matikiti yaliyouzwa kati ya Shilingi za Kitanzania Elfu tano Mpaka Elfu Nne wakati alipotembelea katika Ofisi ya Ushirika huo kupata maelezo akiwa katika ziara ya kutembelea Miradi mbali mbali ya Wananchi wa Wilaya ya Kusini Unguja.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein akifuatana na Mwenyekiti wa Ushirika wa Mtule AMCOS Bw.Mgana Khamis Zidi (katikati) pamoja na Viongozi wengine wakifuatana mara baada ya kuwasili katika Ofisi ya Ushirika huo leo na kupata maelezo akiwa katika ziara ya kutembelea Miradi mbali mbali ya Wananchi wa Wilaya ya Kusini Unguja.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...