Lori la Mafuta likiwa limepiga mweleka baada ya kuacha njia katika barabara ya Mororogo eneo la Kimara Temboni jijini Dar es Salaam leo. Chanzo cha kupiga mweleka kwa lori hilo hakikufahamika kwa haraka.
Lori la Mafuta likiwa limepinduka baada ya kuacha njia katika barabara ya Mororogo eneo la Kimara Temboni jijini Dar es Salaam leo.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...