Sarah, Sabrina Ally, Khadija Abullah wa New York na Biubwa Marumbo wa WashingtonDC. Wanasikitika kutangaza kifo cha mjomba wao Wilson Charles Amour kilichotokea ghafla nyumbani kwake DMV. Takoma Maryland. 
Shughuli za mazishi zitatangazwa baadaye. kwa sasa tujumuike pamoja na wafiwa na kuwafariji katika kipindi hiki kigumu.
Msiba upo nyumbani kwa Biubwa area
116 Lee ave apt 110. T
AKOMA PARK, MD, 20912. 
Kwa maelezo zaidi wasiliana na 
Sabrina  347 605-3276 au 
Khadija 347 307-6930 
Biubwa 12404766498.  
 Alban Abdul-aziz  785 550-2966
UKIPATA TAARIFA HII MTAARIFU NA MWENZIO

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...