Mbunge wa Chalinze Mhe. Ridhiwani Kikwete, akikabidhi tuzo ya mchezaji bora kwa kocha wa timu ya Misosi Fc yenye maskani yake Manzese.
Mwenyekiti wa Chama cha Mpira wa Miguu Mkoa wa Dodoma (DOREFA) Mulamu Nghambi akikabidhi zawadi kwa refa bora wa michuano ya Ndondo Cup.
Mpiga picha bora wa Michuano ya Ndondo Cup Bi. Rachel Palangyo wa Daily News na habari Leo akiwa na Tunzo yake mara baadaya kukabidhiwa.
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.
Mwenyekiti wa Chama cha Mpira wa Miguu Mkoa wa Dodoma (DOREFA) Mulamu Nghambi akikabidhi zawadi kwa refa bora wa michuano ya Ndondo Cup.
Mpiga picha bora wa Michuano ya Ndondo Cup Bi. Rachel Palangyo wa Daily News na habari Leo akiwa na Tunzo yake mara baadaya kukabidhiwa.
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...