Mkuu wa mkoa wa Tabora, Aggrey Mwanry akipampu maji katika kisima cha maji kilichotolewa Msaada na Kampuni ya simu za Mkononi nchini Tigo katika Kijiji cha Usongelani wilayani Urambo mkoani Tabora,Kisima hicho kimegharimu zaidi ya shilingi milioni 18. 
Mkuu wa mkoa wa Tabora, Aggrey Mwanry akifungua pazia kuashiria uzinduzi rasmi kisima cha maji kilichotolewa Msaada na Kampuni ya simu za Mkononi nchini Tigo katika Kijiji cha Usongelani wilayani Urambo mkoani Tabora. Kisima hicho kimegharimu zaidi ya shilingi milioni 18.
Mkuu wa mkoa wa Tabora, Aggrey Mwanry akimtwisha ndoo ya maji mmoja kati ya wananchi wa kijiji cha Usongelani ikiwa ni ishara ya kuzindua kisima hicho kilichotolewa msaada na kampuni ya Tigo ambapo kitahudumia wakaazi wa Kijiji cha usongelani na maeneo jirani ikiwa ni hatua muhimu kwa kampuni ya Tigo kurejesha kiasi cha faida kwa wananchi. 

Mkuu wa mkoa wa Tabora, Aggrey Mwanry (wa pili kushoto walioketi) akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya wafanyakazi wa Kampuni ya simu ya Tigo pamoja na watendaji wa Mkoa huo, baada ya uzinduzi wa kisima kilichotolewa msaada na Tigo wakati wa hafla fupi ya kukabidhi kisima hicho kwa wakaazi wa kijiji cha Usongelani kilichogharimu zaidi ya shilingi milioni 18.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...