Kaimu Afisa
Mtendaji Mkuu wa TTCL, Mhandisi, Cecil Nkomola Francis (kulia)na Afisa Mtendaji
Mkuu wa UCSAF, Mhandisi Peter Ulanga(Kushoto)
wakisaini mkataba wa kupeleka mawasiliano vijijini, na kushuhudiwa na Mhe. Prof.
Makame Mbarawa, Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, katika hafla
iliyofanyika ofisi za UCSAF, Kijitonyama, Dar es salaam
Kaimu Afisa
Mtendaji Mkuu wa TTCL, Mhandisi, Cecil Nkomola Francis (kulia)na Afisa Mtendaji
Mkuu wa UCSAF Mhandisi , Peter Ulanga(Kushoto) wakibadilishana hati za mkataba
wa kupeleka mawasiliano vijijini.
Mhe. Prof. Makame
Mbarawa, Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano akitoa hotuba katika hafla
ya kusaini mkataba kwa Makampuni ya Simu kupeleka mawasiliano vijijini.
Afisa Mtendaji
Mkuu wa UCSAF, Mhandisi Peter Ulanga akizungumza katika hafla ya kusaini
mkataba na makampuni ya simu kupeleka mawasiliano vijijini, katika hafla
iliyofanyika ofisi za UCSAF, Kijitonyama, Dar es salaam
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...