Kaimu Afisa Mtendaji Mkuu wa TTCL, Mhandisi, Cecil Nkomola Francis (kulia)na Afisa Mtendaji Mkuu wa UCSAF, Mhandisi  Peter Ulanga(Kushoto) wakisaini mkataba wa kupeleka mawasiliano vijijini, na kushuhudiwa na Mhe. Prof. Makame Mbarawa, Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, katika hafla iliyofanyika ofisi za UCSAF, Kijitonyama, Dar es salaam 
 Kaimu Afisa Mtendaji Mkuu wa TTCL, Mhandisi, Cecil Nkomola Francis (kulia)na Afisa Mtendaji Mkuu wa UCSAF Mhandisi , Peter Ulanga(Kushoto) wakibadilishana hati za mkataba wa kupeleka mawasiliano vijijini. 
  Mhe. Prof. Makame Mbarawa, Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano akitoa hotuba katika hafla ya kusaini mkataba kwa Makampuni ya Simu kupeleka mawasiliano vijijini.  
Afisa Mtendaji Mkuu wa UCSAF, Mhandisi Peter Ulanga akizungumza katika hafla ya kusaini mkataba na makampuni ya simu kupeleka mawasiliano vijijini, katika hafla iliyofanyika ofisi za UCSAF, Kijitonyama, Dar es salaam 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...