Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi pia Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali
Mohamed Shein alipokuwa akifungua pazia kufungua Tawi la CCM Muembe
Matarumbeta Jimbo la Jang’ombe Mjini Unguja leo akiwa katika ziara yake
katika Wilaya ya Mjini kutembelea Miradi mbali mbali ya
Maendeleo.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi pia Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali
Mohamed Shein (kulia)alipokuwa akipokea risala ya Tawi la CCM Muembe
Matarumbeta Jimbo la Jang’ombe Mjini Unguja leo kutoka kwa Naibu Katibu
Mkuu wa CCM Zanzibar Dk.Abdalla Juma Abdalla (Mabodi) baada ya
kulifungua rasmi Tawi hilo akiwa katika ziara yake katika Wilaya ya
Mjini kutembelea Miradi mbali mbali ya Maendeleo,[Picha na Ikulu.]
19/08/2017.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi pia Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali
Mohamed Shein (katikati)alipokuwa akizungumza na Viongozi mbali mbali na
Wananchi wa Chama cha Mapinduzi wakati wa ufunguzi wa Tawi la CCM
Muembe Matarumbeta Jimbo la Jang’ombe Mjini Unguja leo akiwa katika
ziara yake katika Wilaya ya Mjini kutembelea Miradi mbali mbali ya
Maendeleo.
Rais wa
Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamu Mwenyekiti wa
CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein (kulia)alipokuwa akiwasalimia Watoto
wa maeneo ya Muembe Matarumbeta Jimbo la Jang’ombe Mjini Unguja leo
baada ya kumalizika shamra shamra za ufunguzi wa Tawi la CCM la Muembe
Matarumbeta akiwa katika ziara yake katika Wilaya ya Mjini kutembelea
Miradi mbali mbali ya Maendeleo.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi pia Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali
Mohamed Shein (katikati)alipokuwa akiwapungia mkono wanachama wa CCM na
Wananchi mbali mbali waliohudhuria katika ufunguzi wa Tawi la CCM la
Muembe Matarumbeta Jimbo la Jang’ombe Mjini Unguja leo baada ya
kumalizika kwa shamra shamra za ufunguzi wa Tawi la hilo akiwa katika
ziara yake katika Wilaya ya Mjini kutembelea Miradi mbali mbali ya
Maendeleo,[Picha na Ikulu.] 19/08/2017.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...