Mkuu
wa Wilaya ya Kigamboni, Hashim Mgandilwa akizungumza wakati akifungua
semina ya siku moja kwa vikundi vya kijamii na wajasiriamali,
kilichofanyika kwenye ukumbi wa mikutano wa hoteli ya Sunrise, Kigamboni
jijini Dar es salaa.
Mkurugenzi
wa Masoko, Utafiti na Huduma kwa Wateja wa Benki ya CRDB, Tully Esther
Mwambapa, akizungumza katika semina ya siku moja kwa vikundi vya kijamii
na wajasiriamali, kilichofanyika kwenye ukumbi wa mikutano wa hoteli ya
Sunrise, Kigamboni jijini Dar es salaam
Katibu
Tawala wa Wilaya hiyo, Rahel Muhando akizungumza wakati alipokuwa
akitambulisha sehemu ya viongozi wa ngazi mbalimbali wa Wilaya hiyo,
katika semina ya siku moja kwa vikundi vya kijamii na wajasiliamali,
kilichofanyika kwenye ukumbi wa mikutano wa hoteli ya Sunrise, Kigamboni
jijini Dar es salaam.
Mkuu
wa Wilaya ya Kigamboni, Hashim Mgandilwa (watatu kushoto), Katibu
Tawala wa Wilaya hiyo, Rahel Muhando (kulia), Mkurugenzi wa Masoko,
Utafiti na Huduma kwa Wateja wa Benki ya CRDB, Tully Esther Mwambapa
pamoja na Meneja wa CRDB Tawi la Mbagala, Midlaster Nsanzugwanko
wakifatilia mada zilizokuwa zikiwasilishwa katika semina ya siku moja
kwa vikundi vya kijamii na wajasiriamali, kilichofanyika kwenye ukumbi
wa mikutano wa hoteli ya Sunrise, Kigamboni jijini Dar es salaam.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...