Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Dkt. John Pombe Magufuli akikagua gwaride
katika sherehe ya kutunuku kamisheni kwa maafisa wapya 422 katika Uwanja
wa Sheikh Amri Abeid jijini Arusha leo Septemba 23, 2017. (PICHA NA
IKULU)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Dkt. John Pombe Magufuli akikagua gwaride
katika sherehe ya kutunuku kamisheni kwa maafisa wapya 422 katika Uwanja
wa Sheikh Amri Abeid jijini Arusha leo Septemba 23, 2017
Picha na IKULU
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na jukwaa
kuu katika sherehe ya kutunuku kamisheni kwa maafisa wapya 422 katika
Uwanja wa Sheikh Amri Abeid jijini Arusha leo Septemba 23, 2017
Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Dkt. John Pombe
Magufuli akitunuku kamisheni kwa maafisa wapya 422 katika Uwanja wa
Sheikh Amri Abeid jijini Arusha leo Septemba 23, 2017
Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Dkt. John Pombe
Magufuli akitunuku kamisheni kwa maafisa wapya 422 katika Uwanja wa
Sheikh Amri Abeid jijini Arusha leo Septemba 23, 2017
Sehemu ya
umati wa maelfu ya wananchi ukimsikiliza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania an Amiri Jeshi Mkuu Dkt. John Pombe Magufuli Uwanja wa Sheikh
Amri Abeid jijini Arusha leo Septemba 23, 2017
Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania an Amiri Jeshi Mkuu Dkt. John Pombe
Magufuli akihutubia maelfu ya wananchi katika Uwanja wa Sheikh Amri
Abeid jijini Arusha leo Septemba 23, 2017
Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Dkt. John Pombe
Magufuli akiwa na madiwani na waliowahi kuwa madiwani wa CHADEMA
walioamua kuhamia CCM wakati wa sherehe za kukamisheni maafisa wapya wa
kijeshi katika Uwanja wa Sheikh Amri Abeid jijini Arusha leo Septemba
23, 2017
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...