Jipendezeshe! Mpendezeshe umpendae!
Kwa furaha kubwa twawatangazia kufunguliwa duka letu la Vipodozi!
BAHATI BEAUTY ni duka lako jipya la vipodozi vya uhakika, ORIGINAL kutoka Ulaya!
Fika ujipatie lotions, creams, nail varnish, mafuta ya mwili na nywele, lipsticks na wanja. 
Bila kusahau Perfumes Za majina makubwa, handbags, anti perspirants na deodorants za aina mbali mbali na vikorombwezo kedekede. Bei nafuu kwa ubora harusi.
Tuko Chang'ombe Mtaa wa Mganda, jijini Dar.
Ukifika Tameco ni Mtaa wa kwanza kushoto barabara ya Chang'ombe. 
Waweza kuwasiliana nasi kwa Mobile na WhattsApp +255 677 577 119.
Shukran!
Karibuni nyote! 


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...