Tafiti mbalimbali za kitaalamu zinautaja ulimi wa n’gombe kuwa na kiwango kikubwa cha protini inayo tokana na wanyama na ambayo ni muhimu sana katika ukuaji wa sehemu mbalimbali za mwili wa mwanadamu.
Kama nyumbani kwako, una mtu ambae amekonda na kudhoofu mwili na anataka kurejesha afya ya mwili wake kwa njia ya vyakula vya asili, ni vyema ukajifunza namna ya kuandaa na kutayarisha supu ya ulimi wa n’gombe.
Kufahamu jinsi supu ya ulimi wa n’gombe inavyo andaliwa na kutayarishwa ili iweze kutumika kwa watu walio konda na kudhoofika mwili na ambao wanahitaji kunenepa, tembelea:
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...