Tafiti mbalimbali za kitaalamu zinautaja ulimi wa n’gombe kuwa na kiwango kikubwa cha protini inayo tokana na wanyama na ambayo ni muhimu sana katika ukuaji wa sehemu mbalimbali za mwili wa mwanadamu. 

Kama nyumbani kwako, una mtu ambae amekonda na kudhoofu mwili na anataka kurejesha afya ya mwili wake kwa njia ya vyakula vya asili, ni vyema ukajifunza namna ya kuandaa na kutayarisha supu ya ulimi wa n’gombe. 
Kufahamu jinsi supu ya ulimi wa n’gombe inavyo andaliwa na kutayarishwa ili iweze kutumika kwa watu walio konda na kudhoofika mwili na ambao wanahitaji kunenepa, tembelea: 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...