Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia
Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Naibu Waziri wa Nchi Ofisi
ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira Mhe. Kangi Lugola (kushoto) na
Katibu Mkuu wa Wizara hiyo Profesa Faustine Kamuzora (kulia) mara
baada ya mazungumzo ambapo Mhe. Kangi Lugola alijitambulisha kwa mara
ya kwanza kama Naibu wa Wizara hiyo kwa Makamu wa Rais. (Picha na Ofisi
ya Makamu wa Rais).
Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira Mhe.
Kangi Lugola (katikati)akitembea kwa miguu akielekea ofisini kwake
barabara ya Luthuli mara baada ya kumaliza mazungumzo na Makamu wa Rais
wa Jamhuri ya Muungano Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, kushoto ni
Katibu Mkuu wa Wizara hiyo Profesa Faustine
Kamuzora. (picha na Ofisi ya Makamu wa Rais)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...