Marehemu Dafrosa Sabinus Kweka 
1970 - 1999  

Ni miaka kumi na nane (18) sasa toka umerudi kwa baba. Ninapokosa maneno yako ya busara na hekima, ucheshi na ujasiri. Ninakukumbuka sana na kukuombea mimi mtoto wako wa pekee Jesca, pia unakumbukwa sana na mume wako mpendwa, Ibrahim Msengi, kaka zako Festo na Thade, dada zako Jane, Eugenia, Elizabeth na Cesilia pamoja na Mjukuu wako Dafrosa Michael Chenza. “Msijisumbue kwa neno lolote, bali katika kila neno kwa kusali na kuomba pamoja na kushukuru, haja zenu zijulikane na Mungu.” Fil: 4:6

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...