Afisa elimu Wilaya Ubungo, akizungumza wakati wa Mahafali ya 18 ya shule ya Sekondari ya Green Acres yaliyofanyika Jijini Dar es Salaam.
Mwanafunzi Latifa Kanyanga akipokea cheti kutoka kwa mgeni Rasmi katika mahafali ya 18 ya kidato cha 4 katika Shule ya Sekondari ya Green Acres
Mwanafunzi Latifa Kanyanga akisoma Risala wakati wa Mahafali ya 18 ya Shule ya Sekondari ya Green Acres.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...