Kamati ya kuchunguza migogoro ya ardhi iliyoundwa na ofisi ya katibu tawala mkoa wa Ruvuma imekabidhi ripoti hiyo kupitia Mwenyekiti wa kamati, ambaye pia ni katibu tawala wilaya ya songea,PENDO NDUMBARO amekabizi taarifa hiyo kwa mkuu wa mkoa wa Ruvuma dkt bilinith mahenge,baada ya kufanya kazi kwa miezi mitatu,

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...