Mmoja wa washiriki wa warsha ya wadau wa sekta ya afya, mifugo, mazingira na wanyama pori kutoka Serikali ya Mapinduzi Zanzibar akichangia mada wakati wa warsha ya kujadili Mpango Mkakati wa Usalama wa Afya katika kukabiliana na magonjwa ya milipuko itokayo kwa wanyama kwenda kwa binadamu iliyofanyika Jumatatu Oktoba 16, 2017.
Mwakilishi wa Shirika la DTRA kutoka nchini Marekani Bi. Jean Richard akizungumza na wadau wa sekta ya afya, mifugo, mazingira na wanyama pori wakati wa warsha ya kujadili Mpango Mkakati wa Usalama wa Afya (2017-21) katika kukabiliana na magonjwa ya milipuko itokayo kwa wanyama kwenda kwa binadamu iliyofanyika Jumatatu Oktoba 16, 2017.
Mkurugenzi wa Idara ya Uratibu wa Maafa Ofisi ya Waziri Mkuu, Mbazi Msuya (wa pili kushoto)akifuatilia hotuba zilizokuwa zikitolewa na wadau mbalimbali wa warsha wadau wa sekta ya afya, mifugo, mazingira na wanyama pori iliyokuwa ikijadili Mpango Mkakati wa Usalama wa Afya (2017-21) katika kukabiliana na magonjwa ya milipuko itokayo kwa wanyama kwenda kwa binadamu iliyofanyika Jumatatu Oktoba 16, 2017. Wa pili kulia ni Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Afya Duniani (WHO) Dkt. Ritha Njau.
Mwakilishi wa Shirika la OIE katika nchi za Kusini mwa Afrika (SADC), Bw. Moetapele Letshwenyo akizungumza na wadau wa sekta ya afya, mifugo, mazingira na wanyama pori wakati wa warsha ya kujadili Mpango Mkakati wa Usalama wa Afya (2017-21) katika kukabiliana na magonjwa ya milipuko itokayo kwa wanyama kwenda kwa binadamu iliyofanyika Jumatatu Oktoba 16, 2017.

BOFYA HAPA KWA HABARI KAMILI

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...