Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Dkt. Susan Kolimba akisisitiza jambo kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati akielezea maadhimisho ya 72 ya Umoja wa Mataifa ambayo yanatarajiwa kufanyika tarehe 24 Oktoba katika viwanja vya Karimjee jijini Dar es Salaam, kulia ni Mratibu Mkazi wa Umoja wa Mataifa na Mwakilishi Mkazi wa UNDP Bw. Alvaro Rodriguez.
Mratibu Mkazi wa Umoja wa Mataifa na Mwakilishi Mkazi wa UNDP Bw. Alvaro Rodriguez akifafanua jambo kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati akielezea maadhimisho ya 72 ya Umoja wa Mataifa ambayo yanatarajiwa kufanyika tarehe 24 Oktoba katika viwanja vya Karimjee jijini Dar es Salaam, katikati ni Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Dkt. Susan Kolimba na kushoto ni Mkurugenzi wa Masuala ya Kimataifa toka Wizara ya Mambo ya Nje Balozi Selestine Mushi.
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Dkt. Susan Kolimba (katikati) akifafanua jambo kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati akielezea maadhimisho ya 72 ya Umoja wa Mataifa ambayo yanatarajiwa kufanyika tarehe 24 Oktoba katika viwanja vya Karimjee jijini Dar es Salaam, kulia ni Mratibu Mkazi wa Umoja wa Mataifa na Mwakilishi Mkazi wa UNDP Bw. Alvaro Rodriguez na kushoto ni Mkurugenzi wa Masuala ya Kimataifa toka Wizara ya Mambo ya Nje Balozi Selestine Mushi. Picha na Eliphace Marwa - Maelezo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...