Kwa idhini waliyopewa na Ubalozi wa Marekani  watauza kwa mnada wa hadhara  Funicha za nyumbani na ofisini,Vifaa vya tehama, Gari, Generator na Digital Voltage Stablizer  tarehe 21 October, 2017 Jumamosi saa 4:00 asubuhi. Mnada utafanyika Golden Resort Sinza,  Lion Street.

Fenicha nyumbani na ofisini pamoja pamoja na vifaa vya tehama zitaanza kuuzwa kuanzia saa 4:00 asubuhi: Sofa set, Recliner, Wing chairs, Chest drawer, Dressers,  China base, Hutch, Credenza, Entertainment Centre, Coffee table, Meza za chakula /Viti, Meza za ofisi/Viti, Book case, Garden table/ Chairs,  Carpet, Vitanda ,Magodoro, Fridge, Freezer, Washer, Dryer, Majiko ya umeme, A/c split units, Maturubahi, Computer set, Pressure washer,  Air compressor na vingine vingi.

Generator, Gari na AVR vitaanza kuuzwa kuanzia saa 6:00 mchana: 

MASHARTI YA MNADA:
Mnunuzi  wa Fanicha na Voltage Stabilizer atatakiwa kulipa malipo yote kwa keshia (cashier). Na mnunuzi wa Gari na Generator  atatakiwa kulipa 25% pale pale na salio lilipwe ndani ya siku 4 za kazi  mwisho wa kulipa tarehe 26 October 2017, saa 10:00 jioni Ubalozi wa Marekani. ukishindwa kulipa kwa muda huo Gari/ Generator litauzwa  kwa mshindi mwingine aliyefata  na dhamana haitarudishwa.

Mali zote zitauzwa kama zilivyo bila dhamana. Malipo ni pesa taslimu (hundi na miamala haipokelewi). Mnunuzi atawajibika kulipa ushuru na kodi zingine zote.(TRA watakuwepo mnadani). Mali yote iliyouzwa itatakiwa kuondolewa baada ya kulipa malipo yote pamoja na kidi

Kila mtu atatakiwa kuwa na bid namba itakayo patikana getini.

Kwa maelezo zaidi waone:
UNIVERSAL AUCTION CENTRE 
PLOT NO: 5 “E” LION STREET SINZA                       DAR ES SALAAM
CELL NO:  0754 284 926, 0757 284 926              E-mail: universalauction@hotmail.com


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...