Mkuu wa kitengo cha maduka ya rejareja ya Vodacom Tanzania PLC, Brigita Stephen akikata utepe kuashiria uzinduzi wa dawati la huduma kwa wateja wa kampuni hiyo”Service desk”lililopo soko la makumbusho jijini Dar es Salaam katika kusherehekea wiki ya huduma kwa wateja inayoanza kufanyika leo dunia nzima,Wanaoshuhudia kutoka kushoto Meneja wa kampuni hiyo,Fredrick Laini,Mteja na mkazi wa Makumbusho,Alex Kisanga.
 Alex Kisanga(kulia)Ambaye ni Mteja wa kwanza kufika katika dawati la huduma kwa wateja wa Vodacom Tanzania PLC,”Service desk”lililopo soko la makumbusho jijini Dar es Salaam,Akionyeshwa baadhi ya bidhaa zilizopo katika dawati hilo baada ya kuzinduliwa rasmi na Mkuu wa kitengo cha maduka ya rejareja ya kampuni hiyo, Brigita Stephen(katikati)na Meneja wa kampuni hiyo,Fredrick Laini,katika kuazimisha wiki ya huduma kwa wateja inayoanza leo na  kufanyika dunia nzima.
 Mteja wa Vodacom Tanzania PLC,Dkt. Mdimu Ngoma akishirikiana na Mkuu wa kitengo cha maduka ya rejareja wa kampuni hiyo, Brigita Stephen,kukata keki ikiwa ni ishara ya kusherehekea wiki ya huduma kwa wateja inayoanza leo na kufanyika dunia nzima.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...