Kamanda wa Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam, Lazaro Mambosasa, akikata utepe wakati wa hafla ya kupokea msaada wa gari lililotolewa na Benki ya CRDB kwa Jeshi la Polisi. Hafla hiyo ilifanyika makao makuu ya benki hiyo jijini Dar es Salaam. Kushoto kwake ni Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei na kulia ni Mkurugenzi wa Masoko, Utafiti na Huduma kwa Wateja wa CRDB, Tully Mwambapa.
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei, akimkabidhi Kamanda wa Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam, Lazaro Mambosasa, msaada wa gari kwa Jeshi la Polisi. Hafla hiyo ilifanyika Makao Makuu ya Benki hiyo jijini Dar es Salaam.
Kamanda wa Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam, Lazaro Mambosasa, akipeana mkono na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei.

BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...