Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Simon Sirro (katikati), akiwa
ameongozana na kamanda wa kikosi cha Usalama barabarani mkoa wa
Kipolisi Kinondoni (ASP) Solomoni Mwangamilo (Kulia), alipofanya ziara
bandari ya Dar es salaam kukagua magari 31 ya Jeshi hilo ambayo Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mhe. John Pombe Magufuli,
alielekeza kukabidhiwa kwa Jeshi la Polisi.
Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Simon Sirro (katikati) akimsikiliza
kamanda wa kikosi cha Usalama barabarani mkoa wa Kipolisi Kinondoni
(ASP) Solomoni Mwangamilo (Kulia), alipofanya ziara bandari ya Dar es
salaam kukagua magari 31 ya Jeshi hilo ambayo Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania mhe. John Pombe Magufuli, alielekeza
kukabidhiwa kwa Jeshi la Polisi, kushoto ni Kamanda wa Polisi Kanda
Maalum ya Dar es salaam, Lazaro Mambosasa.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...