Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Simon Sirro (katikati), akiwa ameongozana na kamanda wa kikosi cha Usalama barabarani mkoa wa Kipolisi Kinondoni (ASP) Solomoni Mwangamilo (Kulia), alipofanya ziara bandari ya Dar es salaam kukagua magari 31 ya Jeshi hilo ambayo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mhe. John Pombe Magufuli, alielekeza kukabidhiwa kwa Jeshi la Polisi.
Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Simon Sirro (katikati) akimsikiliza kamanda wa kikosi cha Usalama barabarani mkoa wa Kipolisi Kinondoni (ASP) Solomoni Mwangamilo (Kulia), alipofanya ziara bandari ya Dar es salaam kukagua magari 31 ya Jeshi hilo ambayo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mhe. John Pombe Magufuli, alielekeza kukabidhiwa kwa Jeshi la Polisi, kushoto ni Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam, Lazaro Mambosasa.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...