Mkurugenzi wa Mkuu Mtendaji wa Benki ya CBA Tanzania,Gifty Shoka (kushoto)akimkabidhi VISA Card mpya ya benki hiyo Mkurugenzi wa mauzo na masoko wa Hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam,Seraphin Lusala wakati wa hafla ya uzinduzi wa kadi hiyo itakayowawezesha wateja wa benki hiyo kufanya manunuzi mbalimbali kwa kipindi hiki cha Sikukuu,Wanaoshuhudia ni baadhi ya wateja wa benki hiyo, Nursiye Marhoon na Majda Mohamed.
Mkurugenzi Mkuu Mtendaji wa Benki ya CBA Tanzania, Gifty Shoka akiwa ameambatana na Mkurugenzi wa kitengo cha huduma kwa wateja wa benki hiyo,Hyasinta Mwimanzi wakiongea na wateja wa benki hiyo jijini Dar es Salaam, Nursiye Marhoon na Majda Mohamed wakati wa hafla ya uzinduzi wa VISA Card mpya ya ambayo itawawezesha wateja wa benki hiyo kufanya manunuzi mbalimbali kipindi hiki cha Sikukuu.
Baadhi ya wafanyakazi wa benki ya CBA Tanzania,wakiwa kwenye picha ya pamoja wakati wa hafla ya uzinduzi wa VISA Card mpya ya benki hiyo itakayo wawezesha wateja wa benki hiyo kufanya manunuzi mbalimbali kipindi hiki cha Sikukuu.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...