Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Walemavu), Jenista Mhagama akimkabidhi cheti cha ushiriki Tuzo za Mwajiri Bora 2017 (EYA), Mkuu wa Rasilimali watu wa Exim Bank Tanzania, Mr Fredrick Kanga kwenye hafla ya utoaji tuzo hizo iliyofanyika jijini Dar es Salaam jana usiku. Exim Bank Tanzania imeshinda tuzo ya ushindi wa jumla wa mwajiri bora wa ndani ya nchi.
 Mkuu wa Rasilimali watu wa Exim Bank Tanzania, Mr Fredrick Kanga akipokea tuzo ya ushindi wa jumla wa mwajiri bora wa ndani ya nchi jana usiku katika halfa ya utoaji tuzo hizo kutoka chama cha waajiri Tanzania (ATE) Dar es Salaam jana.
Mkuu wa Rasilimali watu wa Exim Bank Tanzania, Mr Fredrick Kanga pamoja na Mr Stanely Kafu, Mkuu wa idara ya masoko wa benki hiyo wakipiga picha na baadhi ya wafanyakazi katika halfa ya utoaji tuzo hizo kutoka chama cha waajiri Tanzania (ATE) Dar es Salaam jana ambapo Exim Bank Tanzania imeshinda tuzo ya ushindi wa jumla wa mwajiri bora wa ndani ya nchi.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...