Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli akifungua rasmi Tawi la Benki ya CRDB lililopo katika jengo la LAPF mjini wa Dodoma leo. Wengine katika picha ni Waziri Mkuu mstaafu Mzee John Samwel Malecela (kulia kwa Rais), Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Phillip Mpango, Mwenyekiti wa Bodi ya Benki ya CRDB, Ally Laay (kushoto kwa Rais), Mke wa Rais, Mama Jannet Magufuli na Mkurugenzi Mkuu wa Benki ya CRDB, Dkt. Charles Kimei pamoja na viongozi wengine wa kitaifa na wa mkoa wa Dodoma.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akifungua rasmi Tawi la Benki ya CRDB lililopo katikati ya mjini wa Dodoma. Wengine katika picha ni Mke wake Mama Janeth Magufuli watatu kutoka (kushoto), Waziri Mkuu mstaafu Mzee John Samwel Malecela wanne kutoka kushoto pamoja na viongozi wengine wa kitaifa na wa mkoa wa Dodoma.

BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...