Maofisa wa NBC wakiendesha droo ya pili ya Kampeni ya Akaunti ya Malengo ya benki hiyo jijini Dar es Salaam jana. Kutoka kushoto ni Humudi Semvua kutoka Bodi ya Michezo ya Kubahatisha, Meneja Masoko wa NBC, Alina  Kimaryo, Meneja Amana za Wateja, Dorothea Mabonye na Meneja Maendeleo ya Biashara wa NBC, Amos lyimo. Jumla ya washindi 12 wakijishindiaa kila mmoja shs milioni 1.
 Meneja Masoko wa NBC, Alina Kimaryo (kushoto), akizungumza na waandishi wa habari wakati wa uchezeshaji wa droo ya pili ya Kampeni ya Akaunti ya Malengo ya benki hiyo jijini Dar es Salaam jana ambapo washindi 12 walijishindia kila mmoja shs milioni 1. Katikati ni Meneja Amana za Wateja wa NBC, Dorothea Mabonye na Meneja Maendeleo ya Biashara wa NBC, Amos Lyimo.
Meneja Maendeleo ya Biashara wa NBC, Amos Lyimo (kulia) akipiga simu kwa mmoja wa washindi  wakati wa droo ya pili ya Kampeni ya Akaunti ya Malengo ya benki hiyo jijini Dar es Salaam jana. Wengine kutoka kushoto ni Mkaguzi wa Bodi ya Michezo ya Kubahatisha, Humudi Semvua, Meneja Masoko wa NBC, Alina Kimaryo na Meneja wa Amana za Wateja, Dorothea Mabonye. Washindi 12 walijishindia shs milioni 1 kila mmoja.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...